SKU: 9987686923
Categories: Children's, Language, Picture book, Swahili
Product ID: 246
S. S. Kilumanga
Kuku alikuwa akitaga mayai. Lakini kuna aliyekuwa akiyaiba. Hata hivyo siku za mwizi ni arobaini. Kuku alitumia ujanja na akili kubaini mwizi huyo na kumwadabisha kwa adhabu ya aina yake. Soma ugundue